Ni kweli Askari Polisi walifika eneo hilo kumkamata mtuhumiwa anayejulikana kwa jina la Emmanuel Mweta, ambaye awali alikamatwa na baada ya kudhaminiwa aliruka dhamana. Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza alipofungua Mkutano wa 21 wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika ya Mashariki kwenye ukumbi wa hoteli ya GranMelia jijini Arusha, Desemba 3, 2024. Read More
Idadi ya watoto kundikishwa kwenye magenge ya kihalifu nchini Haiti yatajwa kuongezeka, hii ni kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuwalinda watoto (UNICEF). Read More
Familia ya Malcolm X yashtaki vyombo vya sheria vya shirikisho na Idara ya Polisi ya New York (NYPD) kupanga njama ya kumuua kiongozi huyo wa haki za kiraia. Read More
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva Ikulu, Jijini Dar es Salaam Read More
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Antoine Tshisekedi, aliwasili Entebbe, Uganda, Jumatano kwa ziara ya kikazi ya saa chache na mwenzake, Rais Yoweri Museveni. Read More