Msanii wa vichekesho Emmanuel Mathias, maarufu kama Mc Pilipili, aliyefariki dunia jana Novemba 16, 2025 , anatarajiwa kuagwa na kuzikwa Alhamisi, Novemba 20, 2025, nyumbani kwao Swaswa, mkoani Dodoma. Read More
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameongoza majadiliano muhimu yaliyoandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, yaliyolenga kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto zinazowakabili wanawake na wasichana duniani. Read More
Wananchi Mvomero, mkoani Morogoro wameanza jitihada za kurejesha uoto wa asili katika Milima ya Nguru iliyoharibiwa kutokana na shughuli za kibinadamu. Read More
Katika kile kinachoonekana kama tukio lisilo la kawaida, jamii ya wakazi wa wilaya ya Geita imetikiswa na taarifa kuhusu mtoto aliyedaiwa kufariki na kuzikwa miaka kumi iliyopita, ambaye sasa ameonekana akiwa hai. Read More
Kikosi cha Geita Queens kimefanikiwa kurejea tena katika Ligi Kuu ya Soka la Wanawake Tanzania kwa mara ya pili, kufuatia ushindi muhimu walioupata jijini Mwanza. Read More
Mwananyanza aliwataka wachezaji wa Simba kuacha visingizio visivyo na tija na kuelekeza nguvu zao katika mchezo, akisisitiza kuwa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo hakuna sababu ya kuwa na hofu au kisingizio cha uwanja. Read More
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Manispaa ya Geita, Bw. Robert Sugura, alilazimika kuitwa kutoa ufafanuzi kuhusiana na sakata hilo ameongea kuwa baadhi ya vikundi vilikosa mikopo hiyo kutokana na kutokamilisha vigezo vilivyowekwa, licha ya baadhi yao kudai kutuma maombi ndani ya muda. Read More
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awaongoza Watanzania kwenye maziko ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya. Read More