Waziri wa Kilimo,Mhe.Hussein Bashe amewataka wakulima wa Korosho kusini kuhakikisha shughuli zote zinazohusiana na korosho zinafanyika na kupatikana kusini ili kuondokana na umasikini. Read More
Tathmini ya athari za Mradi wa Kupunguza Vifo vya Wajawazito unaofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonesha mafanikio makubwa katika uboreshaji wa huduma za afya ya uzazi Tanzania Bara na Zanzibar. Read More
Binti Theresia anaelezea hisia zake kwa upole na heshima, akisema tukio hilo lilikuwa kama ndoto iliyotimia — "siku ya baraka ya kipekee ambayo haitasahaulika." Read More
Pasaka ni kipindi cha msamaha, upendo na kusameheana. Ni fursa ya kila mmoja wetu kutafakari maisha yake na kufanya maamuzi ya kuishi kwa kuzingatia haki, maadili na mshikamano wa kweli Read More