Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga azindua maadhimisho ya Wiki ya Sheria yaliyoanza Januari 25, yanatarajia kumalizika Februari 3, 2025 katika viwanja vya stendi ya zamani mjini Babati, Manyara. Read More
Usajili wa madaktari wa wanyama 120 umefutwa na Baraza la Veterinari Tanzania na majina yao yameondolewa kwenye rejesta ya madaktari hao kutokana na kutotimiza matakwa ya kisheria. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa hivi karibuni, na Ofisi ya Msajili wa baraza hilo madaktari hao wamefutwa katika kikao kilichofanyika Tarehe 23 Mwezi Desemba 2024, kufuatia baraza... Read More
Waziri wa Madini, Mh.Anthony Mavunde (Mb) amesimamisha shughuli za uchimbaji zilizokuwa zikifanywa na kampuni ya G & I Tech Mining Company Ltd kwa kipindi hichi cha masika mpaka pale tathmini ya mazingira itapokamilika. Read More
Mawaziri wa Kisekta walioshiriki Jukwaa la Biashara na Uwekezaji lililoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Saudi Artabia kwa kushirikiana na Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIA na Kituo cha kuendeleza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Riyadh nchini Oman Read More
Rais Samia amemtangaza Profesa Janabi kama muwakilishi aliyechaguliwa kuiwakilisha Tanzania katika kunyang'anyiro cha kuwa Mkurugenzi WHO Afrika. Read More
Ni kweli Askari Polisi walifika eneo hilo kumkamata mtuhumiwa anayejulikana kwa jina la Emmanuel Mweta, ambaye awali alikamatwa na baada ya kudhaminiwa aliruka dhamana. Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza alipofungua Mkutano wa 21 wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika ya Mashariki kwenye ukumbi wa hoteli ya GranMelia jijini Arusha, Desemba 3, 2024. Read More