Kikosi cha wachezaji wa timu ya Taifa ya soka ya Morocco kimewasili Dar es Salaam kwa maandalizi ya mchezo wa robo fainali ya CHAN 2024 dhidi ya ‘Taifa Stars’.
Read More
Mohammed Bajaber ametafakari juu ya kupanda kwake katika soka huku akiwapongeza kaka zake kwa kumpa motisha na kuwashawishi wazazi wao kumuacha aendelee na mchezo huo kwa umakini. Read More
Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza kina mpango wa kuanzisha kituo cha umahiri cha utoaji wa mafunzo kwa wafungwa ili kuwapa maarifa, ujuzi na stadi za biashara Read More
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi jijini Kigali leo tarehe 26 Julai 2025 Read More