Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) asaini Hati ya Mikataba Miwili (2) kusaidia utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania Read More
Waziri wa Maji, Nishati na Madini katika Serikali ya Zanzibar Shaib Hassan Kaduara ameipongeza Puma Energy Tanzania kusogeza huduma ya nishati ya mafuta kwa wananchi wa Zanzibar. Read More
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameongoza vikao vya bodi ya Shirika la Elimu la Kimataifa (GPE) leo Jijini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu. Read More
Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD) Dkt. Rukia Mwifunyi amepongeza MSD Tanga kwa kuvuka malengo ya mauzo, katika robo mwaka ya kwanza ya mwaka kwa asilimia 12. Read More
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema umefika wakati kwa Serikali na taasisi na Mashirika kutambua, kuthamini na kutumia tafiti za wanasayansi wa ndani ya nchi. Read More
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya makubaliano ya Mpango wa Maboresho ya Utoaji wa Huduma Bandari ya Zanzibar (Zanzibar Port Improvement) hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-11-2024. Read More
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 22, 2024 anamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa kongamano la tano ya Maendeleo ya Biashara na Uchumi linalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hazina jijini Dodoma. Read More